LGE2024 Mtaalam wa TAKUKURU awaonya Wasanii dhidi ya rushwa, "Sheria itachukua mkondo kwa watu wa aina hiyo"

LGE2024 Mtaalam wa TAKUKURU awaonya Wasanii dhidi ya rushwa, "Sheria itachukua mkondo kwa watu wa aina hiyo"

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Devid Junior, Mchunguzi na Mwanasheria wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, amewataka wasanii kuwa makini katika kipindi cha uchaguzi na kampeni za kisiasa, akisema kuwa wao ni kioo cha jamii. Ameongeza kuwa wasanii wanapaswa kujiepusha na rushwa na kudumisha maadili bora wakati wote.

Soma, Pia:

+ TAKUKURU Manyara wavionya vyama vya Siasa dhidi ya rushwa, kuwaanika watakaobainika kipindi cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

+ Kagera: TAKUKURU yatoa onyo kali kwa wagombea na vyama vya siasa dhidi ya vitendo vya rushwa katika Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa
 
Devid Junior, Mchunguzi na Mwanasheria wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, amewataka wasanii kuwa makini katika kipindi cha uchaguzi na kampeni za kisiasa, akisema kuwa wao ni kioo cha jamii. Ameongeza kuwa wasanii wanapaswa kujiepusha na rushwa na kudumisha maadili bora wakati wote.

Soma, Pia:

+ TAKUKURU Manyara wavionya vyama vya Siasa dhidi ya rushwa, kuwaanika watakaobainika kipindi cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

+ Kagera: TAKUKURU yatoa onyo kali kwa wagombea na vyama vya siasa dhidi ya vitendo vya rushwa katika Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa
Kakamate waliokula rushwa wakatoa kibali cha jengo kkoo! Eboo!
 
Devid Junior, Mchunguzi na Mwanasheria wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, amewataka wasanii kuwa makini katika kipindi cha uchaguzi na kampeni za kisiasa, akisema kuwa wao ni kioo cha jamii. Ameongeza kuwa wasanii wanapaswa kujiepusha na rushwa na kudumisha maadili bora wakati wote.

Soma, Pia:

+ TAKUKURU Manyara wavionya vyama vya Siasa dhidi ya rushwa, kuwaanika watakaobainika kipindi cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

+ Kagera: TAKUKURU yatoa onyo kali kwa wagombea na vyama vya siasa dhidi ya vitendo vya rushwa katika Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa
Mwenyewe ni mtaalamu wa kula rushwa
 
Back
Top Bottom