Mtaalamu mmoja wa mambo ya Uchaguzi amenieleza kuwa Rais wa Kenya huamuliwa kwa kura 1 tu kwenye Uchaguzi nyingine zote ni mbwembwe tu
Rais mteule anapaswa kupata 50%+1 na hiyo 1 ndio huamua kwa sababu akilpata 50% pekee hawi Rais
Hivyo wanaodai 001% ni kitu kidogo hawajui taratibu na kanuni za Chaguzi mbalimbali
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!