Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Nitafute mkuu ukishafika, mi ndio mchawi wa hayo madude, kuanzia kutengeneza map kwa kudigitize kwa kutumia digitization table hadi kwa ku upload data kutoka kwenye GPS. Map info hapa ndio head quarter yake...