Ndugu wana JF,nina imani kubwa jukwaa hili lina unganisha watu mablimbali wenye uwezo na vipaji vingi.pia ni njia /sehem muhimu kama kiungo cha jamiii.Kwa leo nina shida ya kumpata mtaalamu wa real estate ili tushauliane mambo mawili matatu katika fani hiyo.Natoa ombi kwa mwenye ujuzi katika fani hiyo especially aliyepo Dar es salaam ani PM kwa mawasiliano zaid.
Ni muhimu,plse.
Asanten.
Ni muhimu,plse.
Asanten.