Mtaan kuna hitaji elimu ,uchawi ama upambanaji?

Mtaan kuna hitaji elimu ,uchawi ama upambanaji?

Master mjehe

Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
77
Reaction score
84
Wajamvi polen. Na majukum.
Ndugu yenu napitia changamoto hasa katika harakat za utafutaji unapambana sana lkn mwisho wa siku asbh unamka unajikuta huna hata sent ya kuanzia siku hiyo ,hadi unatamn usiku uendelee tu.
Mwisho wa siku najiuliza ili ufanikiwe katika haya maisha ni misingi ipi uizangatie either uloge sana ,ama upambane sana ama uwe mcha Mungu sana ama ni kipi wadau?
ukiwa unapitia huu uzi ukitupia hata buku tano wazee mkulungwa wenu niishi itakuwa sio vibaya.
 
Back
Top Bottom