the big mayai
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 230
- 323
Vitu kuviandika ni rahisi sana kama kunywa maji,utekelezaji wake ndio shuguli,kwa maandiko haya kila mtu angekua tajiriSasa namuelewa sana JPM !
Jamani mtaani kuna pesa nyingi sana ambayo haina pa kwenda. Inatafuta mwenye uhitaji , ipo nyingi sana.
Ukiwa mbunifu (creative), mjanja na mhangaikaji hukosi pesa , tena nyingi tu. Ukiumiza kichwa ukachapa kazi (bila ubaguzi) unapata pesa tena kiulaini kabisa.
MAHINDI YA KUCHOMA
Hindi moja nimekuwa nikinunua kwa TZS 50 mpaka 100 shambani kulingana na wingi wake.
Nikishalifikisha mjini umbali wa 20 km nikalichoma , naliuza TZS 500 hadi 600.
Nikinunua mahindi 200 nitauza TZS 120, 000.
Matumizi:
Bei ya kununulia ni TZS 20,000 ; Usafiri 3,000 ; nauli yangu 3, 000 ; mkaa TZS 2,000. JUMLA YA MATUMIZI NI TZS 30,000 per day
Faida = 120,000 - 30,000 = 90,000 per day.
Kwa siku 20 = 1,800,000.
Endelea kudai kupandishwa madaraja na nyongeza ya mshahara mpaka Yesu arudi.
siwezi Kuwa frustrated na kadegree haka kwa kuwa nimekulia mtaani na kazi ngumu nazimudu ndo zinaniweka mjini,kadegree kapo kwenye begi mkuu nasubiri foleni isogeeUtakuwa uko frustrated na kadigrii wewe kachape kazi pesa ipo, jifunze uthubutu.
Nasikia kuna waosha magari huko Posta wanaingiza more than a million per mwezi.Utajiri wa kwenye makaratasi....
Ushawauliza wanaochoma na kuuza hayo mahindi mabichi na wakakupa hizo data na faida yake?
Kila hindi moja unachoma kwa mkaa wa silingi 10aseee.
kumbe maisha marahisi hivyoo.
mkaa wa 2000 unachoma mahindi 200 duh!
Sijawahi kuwashuhudia ila na mimi nasikia tu.Nasikia kuna waosha magari huko Posta wanaingiza more than a million per mwezi.
Wanapiga pesa to that extent ?Sijawahi kuwashuhudia ila na mimi nasikia tu.
Logically wanapiga pesa kweli wale.
Za kwenye makaratasi zinafika maana huwa hazina emmergency wala hakuna kupotea....Wanapiga pesa to that extent ?
Sawa mkuuZa kwenye makaratasi zinafika maana huwa hazina emmergency wala hakuna kupotea....
Kiuhalisia wao ndio wanaojua zaidi.,
Kila hindi moja unachoma kwa mkaa wa silingi 10
ndio,hadi kuutumiaunaujua mkaa wa 2000??