Mtaani kuna vibaka, serikalini kuna majambazi!

Mtaani kuna vibaka, serikalini kuna majambazi!

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
1. Kama Mkuu wa Kituo cha PolisI anaweza shirikiana na wenzake wakaiba hela kisha wakamuua kabisa mtu,
2. Mfanyabiashara aliefariki "Kwa kujupiga risasi" anakwambia polisi alimpigia afisa wa TRA akimwambia "Njoo kuna deal kubwa", na afisa akaja akiwa kavaa pensi na ndala akiongozana na askari wengine wawili, hiyo ni usiku mkubwa. Wakataka millioni 2, alipokataa wakasema watamuonesha, na kweli wamemuonesha.
  • Sasa huu sio ujambazi?
  • Wapo wangapi wa aina hiyo katika sekta mbali mbali za serikali?
  • Hili suala hadi Rais Magufuli alitoa agizo kuwa mfanyabiashara alipwe, Waziri Mkuu analifahamu, kwanini haikua hivyo? Nani yuko nyuma yake?
Ishi Afrika kama unaishi mbugani!
 
Hii nchi ukimiliki pesa ni tatizo sana,bahati mbaya sana ccm imewaaminisha watanzania kila mwenye pesa ni fisadi,hivyo watanzania wanadhani kuwa masikini ni sifa!
 
Majambazi wanaolindwa na sheria
 
Back
Top Bottom