Hii ndio maana halisi ya mtu kuwa "Matured'.Upo mkoa gani? Kama upo Dar jichanganye njia ya Kigamboni (Ferry) kwenda Kisiwani hadi Kibada. Huwa naona hii njia bajaji zake huwa hazikai yaani. Zikifika tu ni kujaza na kuondoka. Uzuri wa hii njia pia nadhani bado hakuna daladala. Usichukuwe ile njia nyingine ya Kibada maana tayari ina daladala, namanisha uchague ile ya kupitia Kisiwani. Sijui sasa wakileta daladala huko mbeleni itakuwaje.
Upo mkoa gani mkuuHabari wadau.
Nimeamua kununua bajaji ili kujikimu na maisha. Hapa nilipo Bajaji ni nyingi na biashara imekuwa ngumu mno. Vipi we ukwapi na biashara ya Bajaji imekaaje pande hizo? Nipo tayari kutimba popote coz naendesha mwenyewe.
Msaada tafadhali,,
Mbona hujaeleweka mkuu.. mwanzo umesema umenunua ujikimu na unaendesha mwenyewe ila biashara ngumu then unasema madereva wanasumbua duh ..Mimi nipo Dar ndugu zangu. Nataka route sehemu yeyote nje au ndani ya mji. Msaada please madereva wanasumbua sana.
ndio kawaida ya fursa wakati unawaona watu wanapiga pesa unaanza kujipanga ujiingize katika hiyo fursa lakini baada ya kujipanga unakuja kugundua ile fursa si fursa tena.Wakati unataka kununua bajaji hazikuwa nyingi, ila bajaji zimeongezeka baada ya kununua weye [emoji849][emoji849]
Kweli kazi kukazana
anauza bei ganiJamaa angu kaamua kuuza yake, anasema biashara imekua ngumu
3.6manauza bei gani
Ashindwe yeye sasaUpo mkoa gani? Kama upo Dar jichanganye njia ya Kigamboni (Ferry) kwenda Kisiwani hadi Kibada. Huwa naona hii njia bajaji zake huwa hazikai yaani. Zikifika tu ni kujaza na kuondoka. Uzuri wa hii njia pia nadhani bado hakuna daladala. Usichukuwe ile njia nyingine ya Kibada maana tayari ina daladala, namanisha uchague ile ya kupitia Kisiwani. Sijui sasa wakileta daladala huko mbeleni itakuwaje.
Ni kiasi kidgo sana kwa bajajiBajaj wengine wanalaza Tsh. 15,000/ na wengine 20,000/ kwa siku