mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]eti zinataka kuwazidi watuHahahaa geita huko sawa kwanza hazipo nyingi kama mjin hapa ,hapa mjini ndugu yangu bajaj nyingi hadi zinataka kuwazid watu hiyo 20,000/ yenyewe kuipata mnavutana na dereva hatari.
Mkuu wote mko sahihi kwa uwelewa wangu mimi.Trust me bro. Madereva bajaj wanaupiga mwingi sana. Take it from me kama ukiweza kuiendesha bajaj yako mwenyewe, asee hela ipo.
Kutegemea na location mkuu.Trust me bro. Madereva bajaj wanaupiga mwingi sana. Take it from me kama ukiweza kuiendesha bajaj yako mwenyewe, asee hela ipo.
Mi naona tupeane location za route nzuri za bajaji,mwenye kuzijua afunguke...Mleta mada soma miongozo...
Hiyo barabara nishamiliki bajaj 3,madereva ni wasumbufu balaaNjoo mbezi stand ya chini,bajaji za kwenda malamba mawili ni nyingi hazikai
Kaka cheki Pm Yako please.Nipo kigamboni kwa siku napata 70000 uhakika.