Naunga mkono hoja kaka 😂 😁Wale waliochimba visima Kigamboni na kusambazia watu pepo wataiona. Maana bila hivo DAWASA wangetutesa sana
Cc. Vincenzo Jr
Yani hii nchi yetu bado sana Kila kitu kipo nyuma...wewe fikiria jiji kubwa Kama dar maji yanakuwa ya shida mpka week mbili hayatoki vipi huku vijijini ndanindani?.....alfu wanasema anaupiga mwingiNakuliza wewe mwana jf maana maji yamekuwa dhahabu, kupatikana wa nadra hapa Tanzania hususan Dar es salaam?
USSR
Kwa miaka 40 kilometa 650Mtaani kwetu tunahaha na maji ya visima kama waIsraeli walivyotangatanga jangwani
Ubungo ipi?Ubungo flani yapo
Kibangu mkali.Ubungo ipi?
Wakati wote mda wote yapoNakuliza wewe mwana jf maana maji yamekuwa dhahabu, kupatikana wa nadra hapa Tanzania hususan Dar es salaam?
USSR
Aise,makuburi jeshini tangu tarehe 21 yalivokatika hayajarudi tena.Kibangu mkali.
Sisi juzi yalirudi tukajaza yakajatika na leo natoka job nakuta yanaflowAise,makuburi jeshini tangu tarehe 21 yalivokatika hayajarudi tena.