Mtaani kwangu vocha ya 500 inauzwa Tsh. 700

Mtaani kwangu vocha ya 500 inauzwa Tsh. 700

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Kweli hii ni maajabu. Vocha iliyoandikwa Tsh. 500 imeanza kuuzwa kwa Tsh. 700 Je, huu ni uungwana, la hasha huu si uungwana. Najaribu kujiuliza kuwa ongezeko hilo la bei limeanzia kwenye viwanda vya kuchakata vocha ama ni wafanyabishara wanafanya yao?

Kama hamuhitaji tutumie vocha, basi fungeni viwanda ili tuanze kutumia apps zenu pamoja na miamala. Mnatupeleka puta ndugu zanguni

NB: Mitandao yote ikiwemo TTCL

Pia soma
 
CCM mbele Kwa mbele ...Mitano tena shenzi...... Mama kanyagia hapohapo..... Na Badooooo
 
Kweli hii ni maajabu. Vocha iliyoandikwa Tsh. 500 imeanza kuuzwa kwa Tsh. 700 Je, huu ni uungwana, la hasha huu si uungwana. Najaribu kujiuliza kuwa ongezeko hilo la bei limeanzia kwenye viwanda vya kuchakata vocha ama ni wafanyabishara wanafanya yao?

Kama hamuhitaji tutumie vocha, basi fungeni viwanda ili tuanze kutumia apps zenu pamoja na miamala. Mnatupeleka puta ndugu zanguni

NB: Mitandao yote ikiwemo TTCL
hili nalo nendeni mkaliangalie
ni wapi hapo mkuu
lazima itakuwa vijijini, haya mambo mjini hayapo
 
Kweli hii ni maajabu. Vocha iliyoandikwa Tsh. 500 imeanza kuuzwa kwa Tsh. 700 Je, huu ni uungwana, la hasha huu si uungwana. Najaribu kujiuliza kuwa ongezeko hilo la bei limeanzia kwenye viwanda vya kuchakata vocha ama ni wafanyabishara wanafanya yao?

Kama hamuhitaji tutumie vocha, basi fungeni viwanda ili tuanze kutumia apps zenu pamoja na miamala. Mnatupeleka puta ndugu zanguni

NB: Mitandao yote ikiwemo TTCL

Pia soma
Sasa mkuu; mfanya biashara mdogo (mwenye kibanda) atoke huko e.g. kijijini Kitelewasi aende mpaka Mafinga mjini (10km)anunue vocha za jumla tuseme za 20,000/= halafu arudi Kitelewasi akakuuzie kwa 500/=? Mbona usiende ww mwenyewe ukazinunua huko Mafinga kwa 500/= kila moja?
Huyo mfanyabiashara analipa nauli, anatumia muda wake ili kukusogezea hapo Kitelewasi. Mbona sasa hutaki mwenzio naye apate walau kachumvi kidogo?
 
Chanika huku 1000 vocha unalipia 1200 noma kwelikweli mama anaupiga mwingi........ CCM IFE KABISA 2025
 
Back
Top Bottom