Mtafute Shafii Dauda popote alipo, umpe salamu zake, na umwambie kuwa: THIS IS SIMBA

Mtafute Shafii Dauda popote alipo, umpe salamu zake, na umwambie kuwa: THIS IS SIMBA

Nguvu ya Ajabu

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2015
Posts
546
Reaction score
451
Shafii Dauda ni mchambuzi wa soka ambae yuko negative sana na soka la Tanzania especially Simba. Tangu simba walipoanza kushiriki michezo ya clabu bingwa mwaka huu, amekuwa akitoa maneno ya kuonyesha kuwa simba ni mtoto mdogo na hafiki mbali, huku akizisifia team pinzan.

Bahat nzuri kila mara simba wamem prove wrong lakin hakat tamaa. Hata mech ya Leo alisema wazi kuwa simba ni underdog na lazima wafungwe. Lakin wamem prove wrong na wameonyesha soka la nguvu kiasi ambacho vita wenyewe hawajaamini.

Nina uhakika, hata hii robo fainali simba wakipangwa na team yoyote bado shafii Dauda atatoa nafasi kwa team pinzani wakati sisi tunaona wazi kabisa kuwa this time simba wanafika nusu fainali.

Sasa mtu yeyote atakaesoma Uzi huu na ana uwezo wa kumpata shafii Dauda, amtafute na kumpa salam zake. Amwambie tu maneno matatu

'THI IS SIMBA' au akitaka amwambie '' Utateseka sana mwaka huu''

Hilo tu basi linamtosha. Hakuna haja ya kubishana nae..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule Shafii Dauda ni simba tena damu, washamba ndio hawata elewa. Ile kuiponda simba ilikuwa ni mbinu ya Shafii pamoja na Manara ili kuipa promo simba kila Mtanzania aijue na kuizungumzia Simba.

MGC
 
Shafii Dauda ni mchambuzi wa soka ambae yuko negative sana na soka la Tanzania especially Simba. Tangu simba walipoanza kushiriki michezo ya clabu bingwa mwaka huu, amekuwa akitoa maneno ya kuonyesha kuwa simba ni mtoto mdogo na hafiki mbali, huku akizisifia team pinzan.

Bahat nzuri kila mara simba wamem prove wrong lakin hakat tamaa. Hata mech ya Leo alisema wazi kuwa simba ni underdog na lazima wafungwe. Lakin wamem prove wrong na wameonyesha soka la nguvu kiasi ambacho vita wenyewe hawajaamini.

Nina uhakika, hata hii robo fainali simba wakipangwa na team yoyote bado shafii Dauda atatoa nafasi kwa team pinzani wakati sisi tunaona wazi kabisa kuwa this time simba wanafika nusu fainali.

Sasa mtu yeyote atakaesoma Uzi huu na ana uwezo wa kumpata shafii Dauda, amtafute na kumpa salam zake. Amwambie tu maneno matatu

'THI IS SIMBA' au akitaka amwambie '' Utateseka sana mwaka huu''

Hilo tu basi linamtosha. Hakuna haja ya kubishana nae..



Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], tokea Samata afurushwe Aston Villa hasikiki. Sijui kunani.
 
Back
Top Bottom