Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Wakuu,
Kama kuna mtu umepotezana naye na huna njia yoyote ya mawasiliano,hebu mtaje jina,kama yupo JF labda ukimtaja kwa jina halisi anaweza akaku-PM,pia unapomtaja jina inasaidia wengine kumpata,hata search engines zingine kama google zinaweza kumleta direct JF kama ni mtumiaji wa internet,
Tuna marafiki kibao tuliosoma nao,tulioishi nao mtaa mmoja,kama kuna ambaye ulipotezana naye Andika jina lake,labda anafanya kazi/soma na memba yeyote wa JF so itakusaidia kumpata.
Upande wangu namtafuta
1.Cleopha Baynit (nimesoma naye o-level)
2.Agness Peter Janka(A-level)
3.Neema Antony,majina mengine anajiita Neema Nnko au Ney Kagashe(tulipoteza Manyara 2005)
4.Kighenda Nikson
5.Faustin Safari
6.Eamanuel Yamet
7.Sungura Frank
8.Emmanuel Ngwangu
9.Phina Tomas
10.Babueli Temu
11.Vicky David
12.Ashura Ramadhan
kama wapo hapa JF naomba wani-PM tuwasiliane jamani,Miss u much
Kama kuna mtu umepotezana naye na huna njia yoyote ya mawasiliano,hebu mtaje jina,kama yupo JF labda ukimtaja kwa jina halisi anaweza akaku-PM,pia unapomtaja jina inasaidia wengine kumpata,hata search engines zingine kama google zinaweza kumleta direct JF kama ni mtumiaji wa internet,
Tuna marafiki kibao tuliosoma nao,tulioishi nao mtaa mmoja,kama kuna ambaye ulipotezana naye Andika jina lake,labda anafanya kazi/soma na memba yeyote wa JF so itakusaidia kumpata.
Upande wangu namtafuta
1.Cleopha Baynit (nimesoma naye o-level)
2.Agness Peter Janka(A-level)
3.Neema Antony,majina mengine anajiita Neema Nnko au Ney Kagashe(tulipoteza Manyara 2005)
4.Kighenda Nikson
5.Faustin Safari
6.Eamanuel Yamet
7.Sungura Frank
8.Emmanuel Ngwangu
9.Phina Tomas
10.Babueli Temu
11.Vicky David
12.Ashura Ramadhan
kama wapo hapa JF naomba wani-PM tuwasiliane jamani,Miss u much