Mtahiniwa kidato cha sita

Mtahiniwa kidato cha sita

changula jr

Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
9
Reaction score
3
Habari wana JF mm ni mwanafunz wa mchepuo wa sanaa HKL natarajia kufanya mtihn wa kuhitimu kidto cha sita mwaka huu mwez 5, napenda kuwa mwanasheria...

Ushauri plz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply... Safi Sana, Duniani Hakuna Degree Yenye Heshima Kama Sheria, Fanya Pepa, Piga One Yako Kali 3-9, Apply
UDSM
Mzumbe
Rucu
Saut
Kwa Diploma I.J.A Is The Best,, Karibu Mkuu #lawyer_in_making
 
Back
Top Bottom