Mtaje msanii yeyote wa Hip Hop anayetokea Zanzibar

Mtaje msanii yeyote wa Hip Hop anayetokea Zanzibar

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
20240527_195821.jpg


Taja!!!!
 
shirko, sikiliza hiyo rap yenye radha ya laga kwenye kibao cha "kuwa nawewe tu".
huyu jamaa angekazia hii style natumai angeeleweka tu aliikung'uta vizuri sana.
 
Rico Single ni Msanii wa Hip-hop wa muda mrefu sana Zanzibar toka 1999. Baadhi ya Nyimbo zake 'Acha waongee', 'Zanzibar ya Uchumi wa Buluu', 'Chekecha' nk. Alikuwa Mshkaji wangu sana. Amefariki mwezi uliopita. R.I.P Hip hop Legend wa Zanzibar
 
At na wenzake Offside trick walikuwa wanachana kabla hawajaanza kuimba,pia kuna msanii alikuwa anaitwa Mad max kama sikosei alitoa nyimbo na queen darlin inaitwa vitu adimu
 
Back
Top Bottom