Mtaje mtu unayemchukia humu ndani JF

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna watu wanakera Sana humu ndani.kwa michango Yao tu unaweza ukatamani asingekuwepogi.niwe mkweli tu kuna jamaa anaitwa kanungila Karim huyu jamaa sijui Kwanini damu yake na yangu hazijaendana.ashaniharibia mood yangu mara kibao.siku nikikutana naye live live kitaani nitamchezeshea vitofa mixer vitasa Kama vyote.kwa upande wa ma she Kuna huyu anaitwa miss natafuta simfagilii Wala Nini namchukia na sijui kwanini na m term Kama adui.mwingine ni huyu anajiita viatu vya samaki,wa mwisho kabisa Ni GENTAMICYNE na mwenyewe naonaga miyeyusho tu
Ni mtazamo tu washikaji msijenge chuki.na wewe mtaje mmoja tu au wawili ambao una beef nao.
 
kama kuna mtu ananichukia atapata tabu sanaa
mi bado nadunda ndo kwanza nina miaka 11
We na uhakika HaKuna mwenye noma na ww.halafu Kuna ID moja ilikuwa inasomeka Kama BADILI TABIA..unaikumbuka?
 
Huyo @gentamicyne ana muandiko flani ivi wa kidwanzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…