Utapata wazo zuri 2, Nipigie no 0714969208. Na kwa yeyote anaehitaji wazo la biashara.Bandugu mm ni mwalimu wa shule ya msingi, nisaidieni mawazo kwa mtaji wa 2ml nitoke vipi
Utapata wazo zuri 2, Nipigie no 0714969208. Na kwa yeyote anaehitaji wazo la biashara.
Inaniboa kinyama hii situation,nn maana ya jamii forum?Mtu anahitaji wazo haina maana atakuwa mmoja tu mwenye hitaji,kama una wazo andika watu wote tupate kufaham,eti nipigie nikueleze ama ni PM ndo nini sasa!!
Bandugu mm ni mwalimu wa shule ya msingi, nisaidieni mawazo kwa mtaji wa 2ml nitoke vipi
LABDA ITAKUSAIDIA!!!!
- Kwanza tafuta biashara ambayo itakujenga kiakili, ambayo haitakufanya kuwa mtumwa wayo, ambayo itakupa fursa ya kuwekeza kichwa pia, OJT au OBT (ON JOB/BUSINESS TRAINING), Hii inamaana wafanya biashara huku ukijifunza kuwa mweredi zaidi. Wekeza kichwani kwanza. Benjamin Frankilin aliwahi kusema:- if a man empties his purse into his head, no man can take it away from him. An investment in knowledge always pays the best interest.
- Biashara nzuri ni ile inayogusa jamii, kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii, hii yahitaji muda kidogo kufanya kautafiti, yaani ni kutafuta pengo na kulijaza ama kuwa suluhisho la changamoto.
- Biashara nzuri ni ile ambayo itakupa passive income au Residual Income, itakayo kupa Inner Freedom, Location Freedom, Time Freedom na zaidi baada ya miaka mitatu au mitano yaweza kukupa financial freedom pia, tena ambayo yeyote aki copy na ku-paste (kwani ni kawaida) biashara hiyo bado kwako itakuwa faida, yaani ambayo hautakuwa na choyo kumwelekeza mingine jinsi ya kufanya.
- Tafuta Biashara ama fursa itakayokupa changamoto na kukupa ubunifu wa kupambana na changamoto hizo, kumbuka tunakua kutokana na changamoto tunazo kutana nazo kila siku, kubweteka ama kufanya kwa mazoea hakuletelezi kukua.
- Pia ambayo itaenenda na mtaji wako, kwa kuwekeza kwanza kidogo, labda kama laki 4 kwanza na elimu (kwa gharama ndogo au bure) la namna ya kufanikiwa katika biashara hiyo la namna ya kuweka malengo na kufanikiwa. Tumia muda wa kutosha kujifunza kabla ya kutumbukiza pesa, jiridhishe kuwa hii biashara itakutoa. Abraham Lincolin alisemaga zamani Give me six hours to chop a tree and I will spend the first four sharpening the axe.
- Katika karne hii ya sayansi na teknologia, fursa za biashara ziko za aina nyingi sana, ni juu yako kutafuta biashara sahihi na kuwekeza, usiangalie iliyorahisi sana au mazoea, au ambazo kila mtu anakimbilia, tafuta iliyohalali hata kama watu watakwambia ni ngumu, kumbuka wengi wanaosema biashara Fulani ni ngumu, asilimia kubwa hawajawai kuifanya, ama walisikia kuna mtu kajaribu kashindwa pasipo kujua kashindwaje, wao wanabeba bango kuwa ni ngumu, wanakuwa wanachagizwa na woga zaidi kuliko uhalisia.
- Kila la kheri, ni PM ukiwa na swali lolote.
LABDA ITAKUSAIDIA!!!!
- Kwanza tafuta biashara ambayo itakujenga kiakili, ambayo haitakufanya kuwa mtumwa wayo, ambayo itakupa fursa ya kuwekeza kichwa pia, OJT au OBT (ON JOB/BUSINESS TRAINING), Hii inamaana wafanya biashara huku ukijifunza kuwa mweredi zaidi. Wekeza kichwani kwanza. Benjamin Frankilin aliwahi kusema:- if a man empties his purse into his head, no man can take it away from him. An investment in knowledge always pays the best interest.
- Biashara nzuri ni ile inayogusa jamii, kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii, hii yahitaji muda kidogo kufanya kautafiti, yaani ni kutafuta pengo na kulijaza ama kuwa suluhisho la changamoto.
- Biashara nzuri ni ile ambayo itakupa passive income au Residual Income, itakayo kupa Inner Freedom, Location Freedom, Time Freedom na zaidi baada ya miaka mitatu au mitano yaweza kukupa financial freedom pia, tena ambayo yeyote aki copy na ku-paste (kwani ni kawaida) biashara hiyo bado kwako itakuwa faida, yaani ambayo hautakuwa na choyo kumwelekeza mingine jinsi ya kufanya.
- Tafuta Biashara ama fursa itakayokupa changamoto na kukupa ubunifu wa kupambana na changamoto hizo, kumbuka tunakua kutokana na changamoto tunazo kutana nazo kila siku, kubweteka ama kufanya kwa mazoea hakuletelezi kukua.
- Pia ambayo itaenenda na mtaji wako, kwa kuwekeza kwanza kidogo, labda kama laki 4 kwanza na elimu (kwa gharama ndogo au bure) la namna ya kufanikiwa katika biashara hiyo la namna ya kuweka malengo na kufanikiwa. Tumia muda wa kutosha kujifunza kabla ya kutumbukiza pesa, jiridhishe kuwa hii biashara itakutoa. Abraham Lincolin alisemaga zamani Give me six hours to chop a tree and I will spend the first four sharpening the axe.
- Katika karne hii ya sayansi na teknologia, fursa za biashara ziko za aina nyingi sana, ni juu yako kutafuta biashara sahihi na kuwekeza, usiangalie iliyorahisi sana au mazoea, au ambazo kila mtu anakimbilia, tafuta iliyohalali hata kama watu watakwambia ni ngumu, kumbuka wengi wanaosema biashara Fulani ni ngumu, asilimia kubwa hawajawai kuifanya, ama walisikia kuna mtu kajaribu kashindwa pasipo kujua kashindwaje, wao wanabeba bango kuwa ni ngumu, wanakuwa wanachagizwa na woga zaidi kuliko uhalisia.
- Kila la kheri, ni PM ukiwa na swali lolote.
Jibu swali acha porojo..afanye biashara gani??
kujifanya kina kisoyaki wakati mwafa maskini,aya mnayoandika ata nyinyi hayawasaiddii
Kwanza hujasema ulipo anyway ngoja nifikiri upo Dar anzisha uwakala wa mahousegirl unakuwa unawatoa mkoa unawaleta dar kisha unaweka tangazo JF kuwa una mali mpya imeingia preferably Iringa ndo wanauzika kwa bei nzuri kil kchwa unapata commission yako. Wakishindwana na boss wake anarudi kwako unamtafutia pengine na kupata tena commission. Mjini mipango.nakuhakikishia hautatumia zaidi ya laki 5 kwa biashara hii