kama umeshapata till kwani nayo wameishaifanya dili,huipati hivi hivi mpaka kona nyingi!mtaji unategemea na eneo utakalo fanyia kazi,ila ni vizuri kuwa angalau na 1.5m,ili angalau milion1,iwe kama float inakuwa kwenye simu kwa ajili ya wanaoweka,na laki 5,kwa ajili ya wanaotoa,kwani,hiyo laki 4 na 60,itakuwa ngumu kuigawa,kwani we wakija wateja 2 tu float imekwisha!ila kibishi bishi unaweza ila haitakuwa na ufanisi!kwani wateja wengi watakuwa wanakosa huduma kwako,na wakishajua kuwa mtaji wako ni kuunga unga kama homa za vipindi!watakuwa hawaji kwani wanajua kuwa pale hatapata huduma.ikishindikana sana anza angalau na milioni.