Deejay nasmile JF-Expert Member Joined Nov 8, 2011 Posts 5,794 Reaction score 5,352 Apr 10, 2013 #1 Mfano mtu ana mtaji wa laki5,anaweza fanya biashara gani ambayo itamuwezesha kuongeza mtaji huo had kufika labda milion 5 hivi.na kwa kukadirika itachukua muda gani.naombeni ushauri na mawazo yenu. Mchanganuo wenu ni muhimu
Mfano mtu ana mtaji wa laki5,anaweza fanya biashara gani ambayo itamuwezesha kuongeza mtaji huo had kufika labda milion 5 hivi.na kwa kukadirika itachukua muda gani.naombeni ushauri na mawazo yenu. Mchanganuo wenu ni muhimu
Narubongo JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 2,768 Reaction score 2,753 Apr 10, 2013 #2 tuma neno mahela kwenda 155xxx kuna zaidi ya 400m kushindaniwa
Deejay nasmile JF-Expert Member Joined Nov 8, 2011 Posts 5,794 Reaction score 5,352 Apr 10, 2013 Thread starter #3 Narubongo said: tuma neno mahela kwenda 155xxx kuna zaidi ya 400m kushindaniwa Click to expand... nar=nah=no no ubongo
Narubongo said: tuma neno mahela kwenda 155xxx kuna zaidi ya 400m kushindaniwa Click to expand... nar=nah=no no ubongo