Hiyo biashara ina hela sana ila pia ukikaa kizembe hukawii kuwa masikini dakika 0Anzisha microfinance uwe unatoa mikopo umiza
Ulipochukua mkopo walikupa muda gani wa kuanza marejesho?,tuanzia hapa kwanza.Wakuu za jumapili, naomba msaada kwenye tuta. Kuna biashara nilipanga kuifanya ya kuchimba one of industrial minerals. Nilitegemea kupata order kiwanda cha mchina Tanga, baada ya kuwa nimepata mkopo bank wachina wakaanza kuzingua, sasa natafuta plan B ya kufanyia hizo hela 25 - 30m ili inipe marejesho ya bank about 3m every month.
Natanguliza shukrani wakuu.
Hili ni wazo jema piaAnzisha microfinance uwe unatoa mikopo umiza
Mikopo mingi ya kubongo haina grace period, kwa hiyo washaanza kuzikata hizo ambazo wanenipa. Jumla walinipa 35MNa mkopo ni wa muda gani?
18 monthNa mkopo ni wa muda gani?
Tudondolee mkuu imekaaje?Njoo tufanye biashara ya soya
aisee, pole sanabaada ya kuwa nimepata mkopo bank wachina wakaanza kuzingua,
SahihiAnzisha microfinance uwe unatoa mikopo umiza
Mfano:Wakuu za jumapili, naomba msaada kwenye tuta. Kuna biashara nilipanga kuifanya ya kuchimba one of industrial minerals. Nilitegemea kupata order kiwanda cha mchina Tanga, baada ya kuwa nimepata mkopo bank wachina wakaanza kuzingua, sasa natafuta plan B ya kufanyia hizo hela 25 - 30m ili inipe marejesho ya bank about 3m every month.
Natanguliza shukrani wakuu.
Sijakuelewa mkuu, ni nini hii?Odds 4 daily tia 1million hukosi hiyo 3million per day
Note:sio kila siku utakula wewe tu