HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,121
- 1,204
Asante sana mkuuMchanganyiko lakini pia Inategemea na muuzaji
Yupo na kwa sasa bado kuna viroba 400Asante sana mkuu
Muuzaji yupi! Anayeuza hizo loba ?
Kumbe zaidi ya kuturoga mkuu mshana una mambo mazuri kwetu. Kwa hiyo huuzi kwa grades? Maana ungenitwisha grade one ningekuwa tajiri japo mkuu hapendi tuwe matajiriNi kati ya 150- 250 hii si kwa ubora bali aina ya viatu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo mali ni nzuri zoom picha uoneKumbe zaidi ya kuturoga mkuu mshana una mambo mazuri kwetu. Kwa hiyo huuzi kwa grades? Maana ungenitwisha grade one ningekuwa tajiri japo mkuu hapendi tuwe matajiri
Mkuu asante sana!Yupo na kwa sasa bado kuna viroba 400
Pouwa za nguo nazo range ni hiyo hiyoMkuu asante sana!
Ngoja nivune mihogo yangu nitakutafuta
Be blessed! Na loba za nguo vipi?
Asante sana bossPouwa za nguo nazo range ni hiyo hiyo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] woga wako ndio umaskini wakoAsante sana boss
I hope wewe hautumii uchawi!
M3 haitoshi kwa stationeryKilimo au fungua stationary hapo karibu na chuo
Mweeeee haya mkuu siogopi tena[emoji3] [emoji3] [emoji3] woga wako ndio umaskini wako
AhsanteM3 haitoshi kwa stationery
Hebu tuchambue
Kodi ya chini laki 1 kwa miezi 6 laki sita
Photocopy mashine ya kawaida milioni 1
Computer na monitor laki 4
Printer ya kawaida laki 1
Makabati ya kioo mawili laki 5
Viti 2 laki moja
Meza ya computer laki 1
Bidhaa za kuanzia milioni 1
Miscellaneous laki 2
Kwa mahesabu ya haraka na kujibana sana stationery ndogo inahitaji milioni nne hapo ni kama chumba kimekamilika kila kitu
Kwenye biashara ili ufanikiwe vizuri unahitaji kuwekeza kidogo lakini faida iwe kubwa japo pia kuna statusAhsante
Viatu ....?Elekeza vizur mkuuKwenye biashara ili ufanikiwe vizuri unahitaji kuwekeza kidogo lakini faida iwe kubwa japo pia kuna status
Ukifungua duka la viatu halina uwekezaji mkubwa na faida inaonekana haraka tofauti na stationery ambayo inahitaji vitu vingi kwa wakati mmoja
Samahani mkuu, hivyo viatu bado vina hali nzuri?Viatu vya mtumba tuwasiliane kiroba 150000 pair 50+ vya watoto kina mama na vijanaView attachment 401247View attachment 401249View attachment 401250
Una kodi fremu kwa laki moja unalipia miezi 6 hiyo ni laki 6Viatu ....?Elekeza vizur mkuu
Kama pichani zinavyoonyesha ni vizuriSamahani mkuu, hivyo viatu bado vina hali nzuri?
Naomba nikutafute mmUngekuwa dar ningekuelekeza biashara faida tungegawana na mchanganuo wake sio kwa kuandika ni kwa vitendo pakununulia mpaka pakuuza
Nna uncle wangu ngoja ntamcheki naweza kumtumia mzigo akapiga ukware hapo. Ngoja nifanye namna akikaa sawa ntakutafuta mkuuViatu vya mtumba tuwasiliane kiroba 150000 pair 50+ vya watoto kina mama na vijanaView attachment 401247View attachment 401249View attachment 401250