Biashara za uchuuzi ni biashara za kijinga, ni biashara za watu wasio na uwezo wa kufikiri au ambao wana uwezo wa kufikiri lakini wanaona uvivu kufikiri. Kubwa zaidi, ni biashara za watu wavivu wavivu tu na watu wenye akili za kipuuzi kama za wachuuzi ndio wameifikisha hii nchi hapa ilipo. Nchi inashindwa kuzalisha vitu kwakuwa kila mwananchi anafikiria kuchukua vitu mbele ya nyumba yake then anaenda kuuza nyuma ya nyumba yake. Ukisoma tu hiyo thread utagundua mtoa maada ni mtu wa namna wa namna gani. WAKATI CHINA KILA MWANANCHI ANAFIKIRIA KUPRODUCE NA KUUZA HIVYO VITU VINAKOSA WANUNUAJI KWAKUWA KILA MTU ANATAKA KUZALISHA NI KINYUME NA TANZANIA AMBAPO EVERY TOM&JERRY WANT TO BUY AND NOT TO PRODUCE. HUWA NACHUKIA SANA NAPOKUTANA NA WATANZANIA KAMA MTOA MAADA HII.