Wapendwa kwa mtaji wa 1m, naweza fanya biashara gani? Nathamini mawazo yenu.
Kuna jamaa katoa wazo la biashara ya asali ila hana mtaji. Wazo lake bomba sana unaweza kuupitia hapo juu uone kama unaweza fanya[/QU Asante Deo kwa wazo lako,let me go through that.