Mtaji wa 300,000 naweza kufanya biashara gani?

kokaumba

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
398
Reaction score
177
Mimi ni mwanachuo katika mkoa wa dar,naweza fanya mishe gani huku nikiwa naendelea na masomo kwa kiasi hicho cha fedha .
naombeni mawazo yenu wanajukwaa
 
Mimi ni mwanachuo katika mkoa wa dar,naweza fanya mishe gani huku nikiwa naendelea na masomo kwa kiasi hicho cha fedha .
naombeni mawazo yenu wanajukwaa
 
Kopesha wanachuo nguo,boom likitoka wakulipe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…