Mmmmh..! My God. Hii nchi tunaipeleka wapi?? Yaan anawekeza kwenye UBUNGE!!, Hivi ubunge sikuhizi ni Biashara/resource!!. Sihtaj kuambiwa huyu jamaa ni fisadi, tena kapania hasa kuifisad tz. Ndo maana anawaza kpitia CCM kwa mafisad wenzie. Si bora awekeze hiyo hela ktk soko la HISA kuliko hivyo anavyo fikiri!! Ati kuwekeza kwenye ubunge. Amenikera kchz.