Dodoma messengers
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 565
- 902
Utaacha mwenzako alie kichina japokuwa hakijui.Beting mkuu.
Yaani hapo unachukua odds 2 tu unatia mzigo wote.
Baada ya dakika 90 unaingiza 1 milion na zaidi.
Kwa ufupi ndani ya dakika 90 unapata faida ya laki tano.
Hakuna biashara ya shillingi laki 5 unaweza nitajia biashara mbili za shillingi laki 5?
Unaishi Tanzania au nje ya Tanzania?
Mtu anayeuza tu ishu kama macover ya simu, zile screen protector n.k anaweza akaanza na mtaji huo...
Mtu anayelangua mtumba wa nguo, viatu, mashuka, nguo za ndani n.k anaweza akaanza na mtaji huo...
Mtu anayefanya biashara ya uji, maandazi, chapati, chai, mihogo, alkasusu, kahawa n.k anaweza akaanza na mtaji huo...
Mtu anayeuza kuni, mkaa, mafuta ya taa nk anaweza akaanza na mtaji huo...
Wengine wataweka nyingine...
Banda la chipsi, nguo za mtumba, kuuza viatu, chukua meza nunua matunda uza maeneo ya stendi(hii hata laki 2 nyingi), nunua magunia 5 ya mkaa uza kibarazani kwenu.Hakuna biashara ya shillingi laki 5 unaweza nitajia biashara mbili za shillingi laki 5?
Njoo Arusha mitaa ya makao mapya uuze condom broNaomba Ushauri, Na Wazo la biashara ambalo nitakifanya kukuza uchumi binafsi na kipato ili kuwaangalia watu wamuhimu karibu yangu.
Acha uongo mzeeHakuna biashara ya shillingi laki 5
Mtu huyo huyo anaweza anza na biashara tajwa kwa mtaji wa 10000, laki au million. Basi biashara si rahisi kusema hii ya mtaji fulani
Boss nunua sola w100 na betrii N70 na charger Ware, na charger za solar. Kisha tafuta kijiji chochote nenda panga chumba cha biashara anza kuchaji Sim, Redio na betrii za sim.Naomba Ushauri, Na Wazo la biashara ambalo nitakifanya kukuza uchumi binafsi na kipato ili kuwaangalia watu wamuhimu karibu yangu.
Asante Sana ni wazo zuri mnoBoss nunua sola w100 na betrii N70 na charger Ware, na charger za solar. Kisha tafuta kijiji chochote nenda panga chumba cha biashara anza kuchaji Sim, Redio na betrii za sim.
Jaribu baada ya miezi 6 njoo hapa utoe ushuhuda wako.
Acha uongo mzee
Ni rahisi na inatakiwa kujua mtaji wa biashara, kwa sababu kutokea hapo ndio unaweza fanya hisabati za vitu kama ROI (return of investiment) n.k
Unalosema una hakika nalo au kwakua uko jf laki tano unafanya biashara vizuri tu..ila mkitaka biashara za insta fb itakua ngumu ila ukitaka kujutoa na kukuza mtaji laki tano unazungushaHakuna biashara ya shillingi laki 5
Sawa mwenye ujuaji usio na tijaMtu huyo huyo anaweza anza na biashara tajwa kwa mtaji wa 10000, laki au million. Basi biashara si rahisi kusema hii ya mtaji fulani
unalosema una hakika nalo au kwakua uko jf laki tano unafanya biashara vizuri tu..ila mkitaka biashara za insta fb itakua ngumu ila ukitaka kujutoa na kukuza mtaji laki tano unazungusha
Ingekuwa hivyo kampuni zingekuwa zishafungwaBeting mkuu.
Yaani hapo unachukua odds 2 tu unatia mzigo wote.
Baada ya dakika 90 unaingiza 1 milion na zaidi.
Kwa ufupi ndani ya dakika 90 unapata faida ya laki tano.
Maisha yote ni kamari mkuu.Ingekuwa hivyo kampuni zingekuwa zishafungwa
Kubeti ni Kamala kubeti ni kubashiri kuna kula na kuliwa 50/50