mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,559
Habari wanajf,nimekuwa na ndoto kubwa juu ya kilimo hasa cha umwagiliaji,na nimekuwa nikiamini kuwa kilimo ni moja kati ya miradi ambayo itaniwezesha kuzifikia ndoto zangu. Mazao ambayo nahitaji kudeal nayo ni kama vile vitunguu, matikiti maji, pilipili mbuzi, karoti na mihogo japo mihogo haihitaji umwagiliaji.
Lakini kwa kuwa sina mtaji wa kutosha,kati ya heka moja ya vitunguu au ya matikiti maji kiasi cha m1.5 kinatosha kuhudumia mpaka hatua ya kuvuna? Na je mazao hayo yanachukua muda gani hadi kuvunwa na lipi lenye faida zaidi, pia ni maeneo gani yanafaa kwa kilimo cha zao husika?
Wenye utaalamu na hili naomba mnisaidie.
Natanguliza shukrani.
Lakini kwa kuwa sina mtaji wa kutosha,kati ya heka moja ya vitunguu au ya matikiti maji kiasi cha m1.5 kinatosha kuhudumia mpaka hatua ya kuvuna? Na je mazao hayo yanachukua muda gani hadi kuvunwa na lipi lenye faida zaidi, pia ni maeneo gani yanafaa kwa kilimo cha zao husika?
Wenye utaalamu na hili naomba mnisaidie.
Natanguliza shukrani.