Mtaji wa million 1

nyanja255

Senior Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
103
Reaction score
59
Naomba mawazo yenu wadau mfano ukiwa na mtaji wa million 1 unaweza fanya biashara gani ambayo ikakuingizia kipato kwa hapa Dar. Naomba mawazo yenu kama hautaona ujumbe huu haukufai basi ni bora kuacha kucommment sio lazima. Nawasilisha ndugu zangu.
 
habari zenu naombeni ushauri kwa mtaji wa 1.5 tzs million naweza kufanya biashara ya aina gani ususani Dar nipo chuo napenda kujishughulisha naombeni mawazo yenu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…