Mtaji wa million 4 nawezafanya biashara gani Dar.

miminho

Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
46
Reaction score
7
Habari ndugu zangu .

naomba kujua kwa wenye uzoefu wa biashara, mtaji wa milioni 4 kwa hapa Dar unaweza fanya biashara gani ?

Asante.
 
jitahidi ufanye biashara ya vitu vya lazima kwa binadamu...kama chakula, malazi na mavazi kidogo... hela ngumu nowdays watu hawanunui vitu vya anasa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…