Mtaji wa millioni 10 kwa Arusha, Manyara na Kilimanjaro

Mtaji wa millioni 10 kwa Arusha, Manyara na Kilimanjaro

HarusiYetu

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2009
Posts
458
Reaction score
10
Wadau naombeni ushauri kwani nina mtaji wa milioni kumi ila tatizo mimi ni mwajiriwa na nipo kwenye position yakusafiri safiri sana kuhudumia mikoa kkumi ila makao makuu yapo arusha na hivyo mda mwingi nakuwa nasafiri na narudi kwenye mikoa ya manyara,arusha na kilimanjaro.

Nafikiria mradi,au biashara yakufanya na hizi milioni kumi ambazo nimezipata ofisini kama mkopo.

Ahsanteni
 
Kwa pesa hiyo wekeza kwenye farm ndogo then weka msimamizi, anza na mifugo then utapanua uongeze kilimo.
 
Back
Top Bottom