majid musisi
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 184
- 36
Habari wana jamvi natumai mu wazima wa afya, Naombeni msaada wenu nategemea kupata pesa kama ml.10.
Je? mnanishauri nifanye biashara gani hapa Dar au around mkoa wa Pwani?
Natanguliza shukrani zenu.
Je? mnanishauri nifanye biashara gani hapa Dar au around mkoa wa Pwani?
Natanguliza shukrani zenu.