Sangoma
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 344
- 165
Habari,
Nahitaji kupambana na utafutaji wa maisha kinamna nyingine hii biashara ya kutegemea kitu kimoja kama chanzo cha mapato naona inafanya maisha yawe magumu na nafuu kwa muda.kwa sasa Namtaji wa 3m niliopata kwenye shughuli zangu zingine za kila siku tena kwa kujinyima sana sasa nahiataji kujiongeza kusogea jijini Dar es Saalam kuwa mkimbiza mwenge mwenye mtaji wa 3m nimefika mitaa ya kariakoo mwezi wa 8 nimeona biashara mbali mbali za nguo, viatu, electronics na zinginezo nyingi nimeona wajanja ni wengi na wanyonge ni wengi pia.
Wakimbiza mwenge wa maeneo hayo niliobahatika kuwa ona ni wababahishaji na hiyo inatokana na kutokuwa na cash wanamaneno mengi ila mifuko haina kitu inakuwa hata ngumu kuaminika kwa wateja na kwa maboss wenye maduka pia sasa nahitaji kutumia nafasi hii kuwa mkimbiza mwenye cash ya 3m kama bond yangu yakujichanganyia kila kichochoro kutafuta riziki.
Ushauri wenu kuhusu hii habari nayo hitaji kupambana kuifanya kwa sasa ila biashara yangu ya awali itaendelea kuwa pale pale nahitaji tu kutafuta chanzo kipya cha mapato nisije uwa watoto na njaa. CONTROLA
Nahitaji kupambana na utafutaji wa maisha kinamna nyingine hii biashara ya kutegemea kitu kimoja kama chanzo cha mapato naona inafanya maisha yawe magumu na nafuu kwa muda.kwa sasa Namtaji wa 3m niliopata kwenye shughuli zangu zingine za kila siku tena kwa kujinyima sana sasa nahiataji kujiongeza kusogea jijini Dar es Saalam kuwa mkimbiza mwenge mwenye mtaji wa 3m nimefika mitaa ya kariakoo mwezi wa 8 nimeona biashara mbali mbali za nguo, viatu, electronics na zinginezo nyingi nimeona wajanja ni wengi na wanyonge ni wengi pia.
Wakimbiza mwenge wa maeneo hayo niliobahatika kuwa ona ni wababahishaji na hiyo inatokana na kutokuwa na cash wanamaneno mengi ila mifuko haina kitu inakuwa hata ngumu kuaminika kwa wateja na kwa maboss wenye maduka pia sasa nahitaji kutumia nafasi hii kuwa mkimbiza mwenye cash ya 3m kama bond yangu yakujichanganyia kila kichochoro kutafuta riziki.
Ushauri wenu kuhusu hii habari nayo hitaji kupambana kuifanya kwa sasa ila biashara yangu ya awali itaendelea kuwa pale pale nahitaji tu kutafuta chanzo kipya cha mapato nisije uwa watoto na njaa. CONTROLA