mbena yero
Member
- Jan 13, 2017
- 53
- 21
Hizo nyanya unazitoa wapi mkuuKaka inatosha,,nunua nyanya leta dar,,unapata box 20,,unauza huku unapata faida laki 2
Elezea zaidi mkuu kwa faida ya wengi si unajua watu wengi wanawaza kujiajili siku hiziKaka inatosha,,nunua nyanya leta dar,,unapata box 20,,unauza huku unapata faida laki 2
Kwa hiyo hapo anapata hizo box 20 na nauli ya kusafirishia inatosha? fKaka inatosha,,nunua nyanya leta dar,,unapata box 20,,unauza huku unapata faida laki 2
Nashukuru kwa ushauri ndugu.Kaka inatosha,,nunua nyanya leta dar,,unapata box 20,,unauza huku unapata faida laki 2