imebidi nitupie jicho hii heading tu
kaaazi kweli,aya karibu tupo kama ivi
ila yote heri tu!
Mwazani Jina langu, desh desh mchumba wangu.
Ndo naingia hivyo.
Mtajiju!!
Wapendwa, nikaribisheni tafadhali.
Karibu sana Mwazani, hapa kichwani nimejenga hisia jinsi unavyo fanana, yani hapa nakuona , uko uswahilini , umekaa ukumbini na ni Bonge la jimama neneee ,halafu me vaa khanga moja huku umekalia mbuzi unakuna nazi ,halafu ume nyosha vidole na kusema "Mtajiju" huku umefungulia redio (ile uliyo letewa na mtoto wa dadako alie enda Dubei) kwa sauti kubwa , ukisikiliza "Leo tena" ya KIna Gea Habibu wakicheza taarab, ambayo kama ina msema mpangaji mwenzako kwamba Riski hutolewa na Mwenywezi.
Mwazani Jina langu, desh desh mchumba wangu.
Ndo naingia hivyo.
Mtajiju!!
Wapendwa, nikaribisheni tafadhali.
Naona kaja kimbayuwayu zaidi!!Hahahaha hii post nilikuwa mbado kuiona nimecheaaka mwazani naomba mbavu za spea
Mkuu Chrispin,Ili aweze kufanya infidelity