Maria Roza JF-Expert Member Joined Apr 1, 2009 Posts 6,803 Reaction score 1,601 Apr 25, 2010 #2 Binua tanda chukuaa... kweli kila mtu anakula kwa jasho lake!!!
firstcollina JF-Expert Member Joined Aug 8, 2009 Posts 349 Reaction score 23 Apr 25, 2010 #3 I like your arguments Maria. Kweli picha inatoa taswira nyingi sana, lakini nahisi hiyo kamera ya jamaa ilikuwa na matatizo maana mmanga kakomaa ile mbaya. Mchizi na kimwana, jamaa na kamera mmanga na nyaya full bize...
I like your arguments Maria. Kweli picha inatoa taswira nyingi sana, lakini nahisi hiyo kamera ya jamaa ilikuwa na matatizo maana mmanga kakomaa ile mbaya. Mchizi na kimwana, jamaa na kamera mmanga na nyaya full bize...
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Apr 25, 2010 #4 Kaaazi kwelikweli.
PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,199 Reaction score 8,761 Apr 25, 2010 #6 Usanii kazi sana..hasa inapokuwa kuna waigizaji wanafunzi mambo yanakuwa magumu zaidi..mbinu zote mbadala lazima zitumike kupata scene!
Usanii kazi sana..hasa inapokuwa kuna waigizaji wanafunzi mambo yanakuwa magumu zaidi..mbinu zote mbadala lazima zitumike kupata scene!
M Matumaini Member Joined Jul 31, 2008 Posts 49 Reaction score 8 Apr 26, 2010 #7 Cheusi..mbona hilo gauni la msanii linafanana sana na avatar yako? Hasa huko kuwaka waka...au ni picha yako halisi?
Cheusi..mbona hilo gauni la msanii linafanana sana na avatar yako? Hasa huko kuwaka waka...au ni picha yako halisi?
S S. S. Phares JF-Expert Member Joined Nov 27, 2006 Posts 2,138 Reaction score 85 Apr 27, 2010 #8 Kitendo chochote..kikisha pewa jina la "kazi" inakuwa kazi kweli kweli...
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Apr 27, 2010 #9 hivi hapo ni wapi lakini mbona kama wamefungiwa korokoloni
Sajenti JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 3,651 Reaction score 413 Apr 27, 2010 #10 FirstLady1 said: hivi hapo ni wapi lakini mbona kama wamefungiwa korokoloni Click to expand... ..Huwa unanifurahishaga sana the way unavyostaajabu mambo..Mara mie mwenzenu hiki ndio nini sijui?? mara hapa ndio wapi?? Mashaalah!
FirstLady1 said: hivi hapo ni wapi lakini mbona kama wamefungiwa korokoloni Click to expand... ..Huwa unanifurahishaga sana the way unavyostaajabu mambo..Mara mie mwenzenu hiki ndio nini sijui?? mara hapa ndio wapi?? Mashaalah!
H Hekima Ufunuo JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 220 Reaction score 11 Apr 29, 2010 #11 Sajenti, unahisia zaidi vipi???? Zote hizi ni avatar hazina ukweli kaka.