Jumapili njema maa[emoji9]Hahahaa. Nilijua tu ulivyo muoga lazima ushutuke lol. [emoji12] [emoji12]
Karibu sana mumy. [emoji120][emoji120][emoji120]
Amin.Hahaaaa. Usijali rafiki.
Iwe njema kwake Insha Allah.
Hahahaa. Ukawaza ulivyoviandika jf kipi kimemgusa emmy. Lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe nlikuwa nshaanza kujiuliza hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante sana Kipenzi nawe pia kwako iwe njema na yenye utulivu wa hali ya juu. [emoji8]Jumapili njema maa[emoji9]
Wasted sperm...Jumapili njema The List..sasa hukawii kuja kuniambia rubbish[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Jumapili njema kwako Swahiba wangu wa nguvu BAK, kwako iwe ni jumapili yenye furaha tele na uwe ndio mwanzo mzuri wa kuikaribisha Wiki mpya ya mapambano.
Siku zote Emmy penda sana wewe. [emoji7] [emoji8]
Hapana. Napenda tu hiyo signature yake...Ndiyo naingia chachi. We ulienda leo? Madhambi yote yamefutwa. Asante sana Kitoo...Unamtafuta... Jumapili njema SYB[emoji9][emoji9][emoji9][emoji9]
asante sana Mungu akubariki sana
T
asante sana Mungu akubariki sana
Thanks a lot BAK. [emoji120] [emoji120] [emoji120]Ahsante sana Swahiba wangu. Love you more Sweetie. [emoji7][emoji7][emoji8][emoji8]
I hope your Sunday is very special in so many ways. [emoji173]️[emoji173]️
Thanks a lot BAK. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Namshukuru Allah imekwenda poa sana tu.
Uwe na siku njema. [emoji8] [emoji8] [emoji7]
Hahahaaa. Duuh. Muwe na kila la kheri katika kupaki basi lenu. [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nafurahi kusikia hivyo Sweetie, Mie pia inaendealea vizuri naangalia timu yangu ya Arsenal hapa inahangaika uwanjani kulinda magoli mawili. Enjoy the rest of your weekend.
[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8]
Hahahaaa. Duuh. Muwe na kila la kheri katika kupaki basi lenu. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ahsante sana. [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji106]
Hongereni sana kwa kuuona mwezi. [emoji85] [emoji85]Hahahahaha lol! Hii timu yangu inasikitisha sana aisee. Kutoka one of the best teams in the World hadi kuwa mdebwedo. Tumeongeza kagoli kengine na mpira umeisha 3-0.