[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anaila utadhani katoka jela mxyuuu
Kweli 😂😂😂😂 ilinitokeaga nikaomba lift njiani na aliyenipa lift akanipa nalipoingia alinicheka mpaka home kwa sababu nilitanua miguu kupata hewa akaniwekea ac ila nilikoma kabisaDawa yenu ndo hiyo hadi ukitoka hapo utembee kama umeliwa funza
Hilo vumbi la Congo wanauza wapi ?Kama ni nguvu za asili basi sawa ila kama ni msaada wa vumbi mtakuja kutuua jamani, masaa matano, matano yani namaanisha matano!!!! Yote ni pwa pwa pwa vibao vya huku hivi pa pa pa.....hata kama twapenda masafa marefu sio hivi asee sio kwa mwendo huu wa kupiga pmb la hela yote. Kausha bahari,kausha mto, kausha dimbwi.....
Ilibidi niombe ushauri juu ya ufanywaji huu nikaambiwa hivi "inatakiwa few hours before ule glucose au unywe energy drink" yani utadhani naenda kucheza football hadi glucose duh eti wanawake wenzangu hivo vya kuboost energy vinasaidia?
Hapana nafsi imesurrender japo moyo hautaki, inaonekana moyo uliridhika na mchamchaka, glucose + energy drink +vumbi la congo, moyo moyo moyo utakuja kusimama siku si zako.
Najidediketia lile songi "amekoma" side mnyamwezi
na mimi naomba nikukomesheNimeshakoma
kwani we wapenda masaa mangapi bestMasaa matano kifuani yupo kwenye mashindano au
Yategemea.Unatmb unakomesha?
Kwa wale member wapya niwatambulishe. Huyu ndiye Evelyn Salt mliyekuwa mnamsikia.Kama ni nguvu za asili basi sawa ila kama ni msaada wa vumbi mtakuja kutuua jamani, masaa matano, matano yani namaanisha matano!!!! Yote ni pwa pwa pwa vibao vya huku hivi pa pa pa.....hata kama twapenda masafa marefu sio hivi asee sio kwa mwendo huu wa kupiga pmb la hela yote. Kausha bahari,kausha mto, kausha dimbwi.....
Ilibidi niombe ushauri juu ya ufanywaji huu nikaambiwa hivi "inatakiwa few hours before ule glucose au unywe energy drink" yani utadhani naenda kucheza football hadi glucose duh eti wanawake wenzangu hivo vya kuboost energy vinasaidia?
Hapana nafsi imesurrender japo moyo hautaki, inaonekana moyo uliridhika na mchamchaka, glucose + energy drink +vumbi la congo, moyo moyo moyo utakuja kusimama siku si zako.
Najidediketia lile songi "amekoma" side mnyamwezi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliblock namba bro, baada ya siku tatu mwili kupoa, na organ zote za mwili kurudi katika hali ya kawaida nikarudi kwa ile number taratibu nikai unblock....
SitasahauMasaa matano kifuani yupo kwenye mashindano au
Nlimfinyaga anatoa inapigwa upepo anaanza mojaMfinyie kwa ndani anakojoa fasta mie sipendagi ujinga sana [emoji41]
Huyo jamaa ni mumeo kwani? Kama kweli ungekuwa unafuata maagizo ya MUUMBA basi usingekuwa unafanya ZINAA maana pia ameagiza usifanye ZINAA.Alieniumba hakunipa agizo la kufanya kazi, aliniagiza nizae kwa uchungu....
fanyeni kazi Wanawake tushibe, tuwazalie watoto
Nyie watoto leo mmeniacha. Huko kumfinyia ndani ndio kumfanyaje...Mfinyie kwa ndani anakojoa fasta mie sipendagi ujinga sana [emoji41]
HahahahahaaaaaaaaaNlimfinyaga anatoa inapigwa upepo anaanza moja