Mtakuja kutuua...

Kumbe una...yani una....nitakutafuta
 
Ilikua ni safari ya kutafuta Mme ndo nikajikuta nimetua kwenye mikono ya "hawafu mwenye nguvu"
Safari ya kutafuta "Mume" inafanywa kwa kuanza ZINAA nje ya ndoa?

Hayo ndiyo maagizo uliyopewa na MUUMBA kwamba ukitaka kupata Mume basi ufanye naye ZINAA kwanza???

Mpaka uje ufikie mwisho wa hiyo Safari yako ya kutafuta Mume utakuwa umefanya ZINAA na waume wangapi?

Mkuu Evelyn Salt fahamu kwamba imeandikwa "ikimbieni zinaa" maana dhambi zote ni nje ya mwili, lakini yeye afanyaye zinaa afanya dhambi juu ya mwili wake mwenyewe na mwili wako siyo mali yako wewe, bali mwili wako ni Hekalu la Roho wa MUNGU, na kila mmoja aliharibuye Hekalu la Roho wa MUNGU na yeye pia ataharibiwa!

Kwanini wewe unalifanya Hekalu la Roho wa MUNGU kuwa chombo cha zinaa????

Mwenye masikio na asikie!
 
Ni huyo tu mmoja mtumishi wa pili nikapata Mme, sasa mtumishi ulitaka nisishake well before use?
 
Huku sio Kanisani au Msikitini..mahubiri sio mahali pake.
 
Ule mpekecho joto la pale lilifikia kiwango cha kuyeyusha nylon nilisikia harufu ya nylon ikiungua nikatoa ile rough rider kuepusha madhara zaidi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yaani we noma kwa simulizi nahisi papuchi ilitoa harufu ya mishikaki
 
Nimejikuta namuonea wivu huyo kuli,hata kama ni story ya uwongo na ya kipuuzi,umejua sana kuipangilia though!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…