Mtalaka wa Best

Leo nimesikia taarifa kwamba Corona imekwisha Tanzania. What a good news!
 
Ukisikia Mme Amuua Mke Usishangae sana japo si sawa,

Lisa kamuumiza Mabeste kwa kutembea na rafiki na akamuacha, Anamnyima uhuru wa kuonana na Wanae., Bado anaona haitoshi kambuluza Polisi

Mwenyezi Mungu Ampe Roho ya Uvumilivu Mabeste
 
Kwenda na wewe.... kiherehere chake cha kwenda mtandaoni ndo kimemfikisha hapo. Alianza kwa kutafuta kiki na zimemtoka puani, sio kila mwanamke ni wa kimdhalilisha tu hovyo akakuchekea. Kakuabishia wewe dada binafsi kanifurahisha next time atajifikiria kabla ya kutoa shombo. Mziki mzuri wenyewe hana kafulia nowdays kabakia kutafutia pa kutokea kupitia mahusiano yaliyokufa.
 
Ukisikia Mme Amuua Mke Usishangae sana japo si sawa,

Lisa kamuumiza Mabeste kwa kutembea na rafiki na akamuacha, Anamnyima uhuru wa kuonana na Wanae., Bado anaona haitoshi kambuluza Polisi

Mwenyezi Mungu Ampe Roho ya Uvumilivu Mabeste
Mtoto ndo kidogo kichwa kitaniuma lakini mama yake naweza nisimwaze hata
 
Mbona povu hivo au we ndo Lisa ,mziki mzuri hana lakini ndo unamlisha,wakati ule anahangaika na michango kama siyo mabeste leo ungeshazikwa
 
Kinachomuuma lisa ni kuona kila analofanya akitegemea jamaa ataumia ila nfo kwanza mtu kama hamuoni ndo kwanza anafanya yako ko ameona amguse kabisa inshort mwanamke ( Lisa) n kama anaroho ya kishetan
 
Mwanamke
 
Kama ni kweli mabeste ana makosa sheria ichukue mkondo wake iwe mfano kwa wengine.
 
 
"Mnanoma Na Mimi Na Mbona Mimi Sijui, Namaisha Nina Ya kwangu Na Mbona yako Sijui".
 
Jifunze kukaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…