Mtalii wa ndani anayetafuta kiburudisho zanzibar

Mtalii wa ndani anayetafuta kiburudisho zanzibar

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,743
wakuu mpo
kesho naenda zanzibar kwa ajili ya kufanya utalii wa ndani sio tu watalii wa nje wanakuja kufanya utalii na sisi watanzania tuko hapa hapa sasa basi nimeamua kesho niende zangu zanzibar kufanya utalii na kadhalika ila sasa kwa kuwa nimetoka kuachana na kimeo changu ambacho kililiwa na hr sio mbaya na mimi huko ninakoenda nkatafuta kiburudisho sasa wakuu wenye uelewa na zanzibar wajaribu kuniambia maeneo ambayo ninaweza pata kiburudisho kitakachoniburudisha wakati wote nitakaokuwa zanzibar maana nasikia kule ndio kwenyewe sasa naomba nikajionee mwenyewe
mwenye kunipa full details nitashukuru
 
Nenda kakalie dole pale karibu na mchambawima utawakuta wenzio wengi wanasukumiwa mashine na mwisho wake mnaenda kulala kibandamaiti
 
Wewe unataka mtu wakukupa raha ipi? unataka wakiume au wakike?
 
wakuu mpo
kesho naenda zanzibar kwa ajili ya kufanya utalii wa ndani sio tu watalii wa nje wanakuja kufanya utalii na sisi watanzania tuko hapa hapa sasa basi nimeamua kesho niende zangu zanzibar kufanya utalii na kadhalika ila sasa kwa kuwa nimetoka kuachana na kimeo changu ambacho kililiwa na hr sio mbaya na mimi huko ninakoenda nkatafuta kiburudisho sasa wakuu wenye uelewa na zanzibar wajaribu kuniambia maeneo ambayo ninaweza pata kiburudisho kitakachoniburudisha wakati wote nitakaokuwa zanzibar maana nasikia kule ndio kwenyewe sasa naomba nikajionee mwenyewe
mwenye kunipa full details nitashukuru

Kwa mtindo huu gonjwa litaisha? yani kutalii unataka upate wa kumtia pia? job true true!!
Kawaulize huko huko Zanzibar, watakushughulikia ipasavyo.
 
Back
Top Bottom