Mtambo wa kuchakata gesi; Njia ya kutunza misitu yetu

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Mimi naona dawa ya kuokoa misitu yetu ni kuchakata gesi yetu ifae kwa matumizi ya nyumbani na iuzwe bei rahisi kabisa ili watu wasione tena umuhimu wa kupikia makaa ya kuni

Sijui kwa nini hili haliongelewi; tatizo ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…