Mparee2 JF-Expert Member Joined Sep 2, 2012 Posts 3,092 Reaction score 5,386 Mar 13, 2017 #1 Mimi naona dawa ya kuokoa misitu yetu ni kuchakata gesi yetu ifae kwa matumizi ya nyumbani na iuzwe bei rahisi kabisa ili watu wasione tena umuhimu wa kupikia makaa ya kuni Sijui kwa nini hili haliongelewi; tatizo ni nini?
Mimi naona dawa ya kuokoa misitu yetu ni kuchakata gesi yetu ifae kwa matumizi ya nyumbani na iuzwe bei rahisi kabisa ili watu wasione tena umuhimu wa kupikia makaa ya kuni Sijui kwa nini hili haliongelewi; tatizo ni nini?
mogulnoise JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 2,435 Reaction score 5,541 Mar 13, 2017 #2 Gesi yenu au ya wachina? Wanasemaga kalaga bao