KERO Mtambo wa kupeleka maji Shinyanga na Tabora upo Misungwi ambapo wakazi hawana maji. Hili kitaalamu inaitwaje?

KERO Mtambo wa kupeleka maji Shinyanga na Tabora upo Misungwi ambapo wakazi hawana maji. Hili kitaalamu inaitwaje?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Unashangaa hilo, mbona dogo tubkatika vitu vya kipuuzi vinavyofanyika katika taifa hili!!!?
 
KItendawili.....Teeeega.
Bibi yangu anasuka mkeka lakini analala chini.
Jibu: Boga/Tikiti maji
Pamoja na mmea huu kushamili majani meengi lakini boga huambulia kulala chini ilihali majani yakielea juu.
wakazi wa Misungwi ni kama Maboga tu.
 
KItendawili.....Teeeega.
Bibi yangu anasuka mkeka lakini analala chini.
Jibu: Boga/Tikiti maji
Pamoja na mmea huu kushamili majani meengi lakini boga huambulia kulala chini ilihali majani yakielea juu.
wakazi wa Misungwi ni kama Maboga tu.
Aisee!
 
Sidhani ka hao wakazi wa misungwi walishasema wana shida ya maji na hawakusikilizwa
 
Back
Top Bottom