KItendawili.....Teeeega.
Bibi yangu anasuka mkeka lakini analala chini.
Jibu: Boga/Tikiti maji
Pamoja na mmea huu kushamili majani meengi lakini boga huambulia kulala chini ilihali majani yakielea juu.
wakazi wa Misungwi ni kama Maboga tu.
KItendawili.....Teeeega.
Bibi yangu anasuka mkeka lakini analala chini.
Jibu: Boga/Tikiti maji
Pamoja na mmea huu kushamili majani meengi lakini boga huambulia kulala chini ilihali majani yakielea juu.
wakazi wa Misungwi ni kama Maboga tu.