kwamba wanyakiMwangupili alikuwa na mapengo. Sio wa wanyaki huyu kweli!
Wanzagi na ukoo wa Nyerere walikuwa machifu Watiama wa Butiama. Wazanani walikuwa na machifu wengi. Wako kama walivyo wachaga. Hakuna chifu mmoja wa wachaga.Kumbe chief wetu Musoma ndio WANZAGI nmefurahi sana kumfahamu ,kwhyo huyo ndio alkuwa Chief wa Wazanaki na Wajita.
Aseeh nmepata somo mkuuWanzagi na ukoo wa Nyerere walikuwa machifu Watiama wa Butiama. Wazanani walikuwa na machifu wengi. Wako kama walivyo wachaga. Hakuna chifu mmoja wa wachaga.