ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,652
Kama ilivyo kwa watanzania wengine hususani wakazi wa dar, huyu mwanajf mwenzetu ni mmoja wa waathirika wa mafuriko ya usiku wa kuamkia leo ktk makazi yake huko Tabata. Matatizo ni sehemu ya maisha yetu binadamu. Faraja na upendo ni kitu cha pekee kinachoweza kutufanya tujione wenye nafuu ktk shida na matatizo.
Tumuombee ndugu yetu nguvu na uvumilivu wa kukabiliana na halii hiii.
Nawasalimu wote!
Tumuombee ndugu yetu nguvu na uvumilivu wa kukabiliana na halii hiii.
Nawasalimu wote!