Hapa tunaelimishana tu jeneneke (with fun of course), hakuna cha kuwa bias wala nini. We leta tu hizo za me tutachangia tu, wala usijisikie vibaya!
Pia usisahau kwamba wanaume wana hamu ya kujua zaidi kuhusu wanawake, so Mtambuzi kama mwanaume ndo maana mada zake nyingi zinahusu wanawake. Vilevile wanawake wana hamu zaidi ya kujua kuhusu wanaume, so binafsi sishangai kuona mada zao nyingi zinahusu wanaume. Hii yote ni ktk kujifunza, kujuana vizuri, na kurekebishana ili tuweze kuwa na long lasting relatioships!