Mtambuzi;You are too bias.

Aaa lakini afanye mix that is too much man[/QUOTE
Kweli inakuitaji mda kumuelewa mtoa mada huyu.
Mapenzi yanapande mbili,imeguza moja naona povu halikukauki,ni mada au uzi upi uliokugusa na kupelekea kufungua uzi huu?
 
Fikra za mtu ni zile zile hata ningejiunga 2006.Mawazo yangu huru ambapo hakuna mtu anayeweza kuzuia kufikiri kwa binadamu ndo kumenituma kuandika.Halafu who told you kila tarehe mtu anayoanza kuandika huku ndo ameingia?!vinginevyo hilo neno hapo chini(guest) lisingekuwepo
 

don worry Mtambuzi listens, he will give what you want!
Be happy!
 

hehhehee...mimi pia nililiona hilo kitamboooo!
 
Endelea kutupa raha Mtambuzi, wanaotaka variety tofauti na zako watuletee na wao pia.
 
Mzee mwenzangu Mtambuzi, hili naona ni suala dogo sana, sidhani kama unahitaji mshauri au hata wakili wa kukutetea
 
Last edited by a moderator:
Mada za kisaikolojia au za utambuzi km mtambuzi anavyoziita zimejikita zaidi kwa wanawake ingawa sio zote, lakini mada nyingine zinahusu wote, kwa mfano makala zake za kesi zinahusu watu wote. Jaribu kufuatilia utalitambua hilo
 
Nadhani mwanangu jeneneke amepata majibu ya kuridhisha so far
 
Huwezi kuhudumia soko zima, lazima uwe na customers wako unaowatarget na utakaoweza kuwaserve. Hebu pia pitia profile yake, hata za wanaume zipo.

Uko genius mrembo!
Big up!
 

muache tu...........kuna mwingine naye anamwaga kuhusu me........kila mtu kabarikiwa tofauti, yeye kaamua kujikita na ke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…