youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
- Thread starter
-
- #21
Ndala wana bahati walicheza na refa.....kwa kuyakataa yale magoli mawili ya wazi...vinginevyo mkubwa angeumbuka..........
Alicheza kama beki kwa kukataa zile goli mbili za wazi kabisa.......unaposema walicheza na refa je refa alicheza namba ngapi?
masharo kwenye mpira mmmmmm?
Lazima watakuwa wanakanyagwa tu
Sio Simba vs Coastal bali ni Coastal Vs Simba
acha ushabiki mandazi eti simba inajinasua isishuke daraja
Alicheza kama beki kwa kukataa zile goli mbili za wazi kabisa.......
we shuleni mwalimu wako wa hesabu alipatata tabu kweli,
kwa kutumia elimu niliyonayo ngoja nijaribu kukufundisha,
mtu akikwambia 2 mara 3, ni sawa na mtu akikwambia 3 mara 2 umenielewa?
therefore, SIMBA VS COASTAL = COASTAL VS SIMBA.
unaposema walicheza na refa je refa alicheza namba ngapi?
nani alimpa hizo goli mbili na akazikataa?
we shuleni mwalimu wako wa hesabu alipatata tabu kweli,
kwa kutumia elimu niliyonayo ngoja nijaribu kukufundisha,
mtu akikwambia 2 mara 3, ni sawa na mtu akikwambia 3 mara 2 umenielewa?
therefore, SIMBA VS COASTAL = COASTAL VS SIMBA.
Duh kesho nitakuwa kwenye tv tujionee.
asantee, ila tusikimbiane kesho.
Mechi yenyewe haitakuwa na mvuto kwa sababu wanacheza mama simba na watoto wa simba. Mchezo wa kesho kati ya mama na mwana utakuwa wa sare.
Mechi yenyewe haitakuwa na mvuto kwa sababu wanacheza mama simba na watoto wa simba. Mchezo wa kesho kati ya mama na mwana utakuwa wa sare.
we shuleni mwalimu wako wa hesabu alipatata tabu kweli,
kwa kutumia elimu niliyonayo ngoja nijaribu kukufundisha,
mtu akikwambia 2 mara 3, ni sawa na mtu akikwambia 3 mara 2 umenielewa?
therefore, SIMBA VS COASTAL = COASTAL VS SIMBA.