permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Simba mlikuwa na midomo mno, hapa mkiongezwa 3 mambo yatakuwa poa sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani hapa anaona mechi ikiisha Yanga mnakabidhiwa ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika maana sio kwa jinsi nmavyoshadadia.
Yanga ututoe aisee sisi timu yetu mbovu ni ombaomba bado. Ila mikia wanajisifu mnoKiuhalisia Tanzania Bado uwezo wetu upo chini Sanaa,, lakin mashibiki wa Simba au yang ukiwaambia ukweli hawaelewi,, itachukua mda mrefu sana kuweza kufika level za kuleta ushindani,,ujanja ujanja, siasa ujuaji usio Na maana,ushabiki wa kipumbavu ambao hauna tija hautatusaidia mpira sio maneno tuu,,,
Pumbav kabis simba..yaan ata basi linawashinda..! asee mmenikera leo nyie mafisi..bora mpigwe kama 10 tuh
Hahaha thamani ya mpira haijashuka hiviMashabiki wa simba msijali ...kipindi cha pili kikianza tunarejesha gold zote na kuongeza magoli mawili yatakayo tupatia ushindi
Sent using Jamii Forums mobile app
NAISAVE KWA MATUMIZI YA BAADAEMoja - wahed
Mbili - Ithnan
Tatu - Thalatha
Nne - Arba
Tano - Khamsa
Sita - Sitta
Saba - Sabah
Nane - Thamaniya
Tisa - Tissah
Kumi - Asharah
kama zitazidi kumi mtaniambia niwatajie tena
Hapana mkuu mimi nashangilia tu .... huwaga nafurahi pindi hizi timu zote mbili (simba na yanga) .... kwa sababu wana miaka mingi kwenye hii tasnia ya mchezo wa mpira wa miguu ...lakini wameshindwa kuwapatia mashabiki wao kile ambacho wana stahiki ....... binafsi sinaga uzalendo na vitu vibovuMzee baba na wewe ni frog [emoji196]
Heluaaaa heluaaaa karia yupo busy kumshambulia lissu unafikiri tutafika kule unakotamani mkuu tufikeMachezaj nakocha sijui kwenye mazoez wanakua wanafanya nn?kwampira huu
Mimi shabiki wa Yanga nauliza ni-comment wapi??
Naomba jibu kwanza kabla sija-comment shombo
Sent using Nokia Note7