Mtandao Judiciary mnazingua sana! Mtandao haupatikani, nyaraka zina 'limitation of time' na hawapokei 'hard copies'

Mtandao Judiciary mnazingua sana! Mtandao haupatikani, nyaraka zina 'limitation of time' na hawapokei 'hard copies'

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Mahakama wanajifanya wapo vizuri kimtandao, wanataka nyaraka zote tusajili mtandaoni, lakini shida, mtandao wao upo low na tangu asubuhi haupatikani, na wametoa maelekezo hakuna kupokea hard copy.

Ajabu yake baadhi ya nyaraka tunasajili ziko na limitation of time na hawapokei hard copies.

Kwanini hawakuweka option as a remedy kipindi mtandao haufanyi kazi? Wanaingia kichwa kichwa kwenye matumizi ya mtandao kabla hawajajijenga kiuwezo na kiutendaji?

Ni chukizo kubwa sana.
 
Back
Top Bottom